LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

May 25, 2018

RAIS DK. MAGUFULI AKUTANA NA RAIS MSTAAFU MZEE MKAPA, MZEE MANGULA NA WENYEVITI WA JUMUIYA ZA CCM, LEO

Mwenyekiti wa CCM Rais Dk. Magufuli akiwa katika mazungumzo na Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Philip Mangula na Mwenyekiti wa CCM mstaafu, Rais Mstaafu Benjamin Mkapa, Ikulu jijini Dar es Salaam leo
Mwenyekiti wa CCM Rais Dk. Magufuli akiwa katika mazungumzo na Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM Kheri James, Ikulu jijini Dar es Salaam leo
Mwenyekiti wa CCM Rais Dk. Magufuli Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM Kheri James, Ikulu jijini Dar es Salaam leo. Katikati ni Mwenyekiti wa UWT Gaudentia Kabaka
Mwenyekiti wa CCM Rais Dk. Magufuli akiwa katika mazungumzo na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Dk. Edmund Mndolwawa, Ikulu jijini Dar es Salaam leo
Mwenyekiti wa CCM Rais Dk. Magufuli akifurahia jambo na Wenyekiti wa Jumuiya za CCM, Ikulu jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mwenyekiti wa UVCCM Kheri James na Mwenyekiti wa UWT Gaudentia Kabaka na kulia ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Dk. Edmund Mndolwa.
Mwenyekiti wa CCM Rais Dk. John Magufuli akifurahia jambo na Mzee Mkapa na Mzee Mangula wakati akiwasindikiza walipokuwa wakiondoka Ikulu jijini Dar es Salaam, leo
Mwenyekiti wa CCM Rais Dk. John Magufuli akiwasindikiza Mzee Mkapa na Mzee Mangula walipokuwa wakiondoka Ikulu jijini Dar es Salaam,

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages