LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jan 19, 2018

KATIBU MKUU WA CCM KOMREDI KINANA AKUTANA NA BALOZI WA CHINA HAPA NCHINI TANZANIA, LEO

 Katibu Mkuu wa CCM Komredi Abdulrahman Kinana akizungumza na Balozi wa China hapa nchini Tanzania Wang Ke ofisini kwake, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo
 Gari la Balozi wa China hapa nchini Tanzania Wang Ke likiwasili Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo
 Balozi wa China hapa nchini Tanzania Wang Ke akishuka kutoka kwenye gari baada ya kuwasili Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo. Kushoto ni Ofisa Itifaki katika Idara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa ya CCM Frank Uhahula. Katikati ni Kansela wa Ubalozi wa China hapa nchini Dai Xu.
 Balozi Wang Ke baada ya kushuka kutoka kwenye gari lake. Katikati ni Kansela wa Ubalozi wa China hapa nchini Dai Xu
 Ofisa Itifaki katikia Idara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa ya CCM Frank Uhahula akimkaribisha Balozi wa China hapa nchini Tanzania Wang Ke alipowasili Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo. Katikati ni Kansela wa Ubalozi wa China hapa nchini Dai Xu
 Uhahula akimwelekeza Balozi huyo kwenda Ofisini kukutana na Komredi Kinana
 Uhahula akiwa na Balozi Wang Ke wakati wakienda ofisini kwa Komredi Kinana.
 Balozi Wang Ke na Uhahula wakikaribia kufika ofisini kwa Komredi Kinana
 Katibu Mkuu wa CCM Komredi Abdulrahman Kinana akisalimiana na Balozi wa China hapa nchini Tanzania Wang Ke ofisini kwake, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo

Katibu Mkuu wa CCM Komredi Abdulrahman Kinana akimkaribisha kuketi Balozi wa China hapa nchini Tanzania Wang Ke ofisini kwake, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo
Katibu Mkuu wa CCM Komredi Abdulrahman Kinana akizungumza na Balozi wa China hapa nchini Tanzania Wang Ke ofisini kwake, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo
 Mazungumzo yakiendelea
 Katibu Mkuu wa CCM Komredi Abdulrahman Kinana akimsindikiza mgeni wake, Balozi wa China hapa nchini Tanzania Wang Ke baada ya mazungumzo yao, ofisini kwake, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo. kushoto ni Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali Mstaafu Ngemela Lubinga.
 Katibu Mkuu wa CCM Komredi Abdulrahman Kinana akiagana na Balozi wa China hapa nchini Tanzania Wang Ke baada ya mazungumzo yao, ofisini kwake, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo
 "Byeee" Balozi wa China hapa nchini Tanzania Wang Ke, akimuaga Katibu Mkuu wa CCM Komredi Kinana wakati akiwa tayari kuondoka Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Saslaam, leo. Kulia ni Katibu wa NEC ya CCM, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali Mstaafu Ngemela Lubinga.
 Gari la  Balozi wa China hapa nchini Tanzania Wang Ke likiwa tayari kuondoka Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo

 "Byeeee, Karibu tena" Katibu Mkuu wa CCM Komredi Kinana akimpungia mkono Balozi wa China hapa nchini Tanzania Wang Ke ofisini kwake, Balozi huyo alipokuwa akiondoka Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam. Katikati ni Katibu wa NEC ya CCM Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali Mstaafu Ngemela Lubinga na kulia ni Stephen Msami ambaye ni Msaidizi wa Katibu Mkuu wa CCM. (PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO)

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages