LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Oct 10, 2017

UHURU FM LEO TENA WAMWAGA MSAADA KUPITIA KAMPENI YAO YA 'GUSA MAISHA YAO' KUMUENZI BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE

Meneja Rasilimali watu wa Kampuni ya Peoples Media inayoendesha Kituo cha Radio cha Uhuru FM cha Jijini Dar es Salaam, Paul Mng'ong'o (wanne kushoto), akikabidhi msaada wa vitu mbalimbali vikiwemo vyakula kwa Mwanzilishi wa Kituo cha kujeresha katika maisha ya kawaida waraibu wa dawa za kulevya cha Pili Misana Foundation, Pili Misana, kilichopo Kigamboni, dar es Salaam, leo, ikiwa ni mwendelezo wa Uhuru FM kutoa misaada kupitia kampeni yao ya 'Gusa Maisha yao' kumuenzi Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Nyerere. Wengine katika picha ni baadhi ya wafanyakazi wa Uhuru FM na Vijana wanaoishi katika kituo hicho.
Aina ya msaada uliotolewa
Dereva akiliungurumisha basi kupitia daraja la Kigamboni kwenda kwenye kituo hicho
Baadhi ya wafanyakazi wa Uhuru FM wakiwa katika basi kwenda kwenye kituo hicho cha kusaidia waraibu wa dawa za kulevya kurejea katika maisha ya kawaida, baada ya kufika wafanyakazi hao wakaanza kushuka na vitu vya msaada, mmoja baada ya mwingine
Cecy Jeremiah
Binti Abbas Mtemvu
Mwandishi wa Uhuru na Mzalendo, Njumai Ngota
Mhasibu Mkuu wa Uhuru FM Alvera Kabwogi
Mhariri Mkuu wa Uhuru FM Pius Ntiga
Mfanyakazi Uhuru FM Godliver Koplo
Meneja rasilimali watu wa Uhuru FM paul Mg'ong'o
Meneja rasilimali watu wa Uhuru FM paul Mg'ong'o
Meneja Masoko wa Uhuru FM Furaha Luhende
Meneja Masoko wa Uhuru FM Furaha Luhende
Mtangazaji Uhuru FM Zuhura Zidadu
Mtangazaji Uhuru FM Zuhura Zidadu
Mtangazaji Uhuru FM Paul Sigori
Meneja Mawasiliano Uhuru FM Arnold Dominic
Mhariri Mkuu wa Uuhuru FM Pius Ntiga akiingia kwenye kituo hicho
Cecy Jeremiah akitafakari jambo baada ya kufika kwenye kituo hicho Kigamboni
Baadhi wakibadilishana mawazo baada ya kufika kwenye kituo hicho Kigamboni
Baadhi wakibadilishana mawazo baada ya kufika kwenye kituo hicho Kigamboni
Mtangazaji said Ambua akibadilishana mawazo na mwanzilishi wa kituo hicho
Ntiga na wenzake wakifuatilia mambo yalivyokuwa yakienda
Luhende akifuatilia live kutoka Uhuru FM kwa makini kuhusu matangazo kutoka kwenye kituo hicho cha Kigamboni.
Sigori na ambua wakiwa tayari kutangaza live tukio hilo la utoaji msaada
Sigori (kushoto) akitangaza live tukio hilo
Mwanzilishi wa kituo hicho akitoa maelezo
Mmoja wa waraibu wa dawa za kulevya akitoa maelezo
Mmoja wa waraibu wa dawa za kulevya akitoa maelezo
Arnold Dominic wa Uhuru FM akitoa maelezo ya msaada
Ambua akitoa maelezo
Mama kabwogi akitoa maelezo ambapo aliwasihi vijana walioacha matumizi ya dawa za kulevya kuwasaidia wenzao nao kuacha
Mg'ong'o akikabidhi msaada huo kwa mwanzilishi wa kituo hicho cha Kigamboni.
Mg'ong'o akizungumza baada ya kukabidhi msaada huo
Shughuli ikamalizika kwa watumishi wa Uhuru FM na wenyeji wao kupigwa picha hii ya pamoja. (Picha zote na Bashir Nkoromo)

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages