LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jul 11, 2017

TAASISI YAUNGA MKONO KAULI YA JPM KUHUSU MIMBA SHULENI

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya James Foundation Leonard Manyama (kulia) akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari wakati akitoa tamko la kuunga mkono kauli ya Rais Magufuli kuhusu kutowarejesha shuleni wanafunzi wanaopata ujauzito, kushoto ni Mchungaji Bartholomew  Sheygah toka Kanisa la Faith Community. Picha na Eliphace Marwa - Maelezo

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages